Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki

Imechapishwa:

Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?

Wakaazi wa Nairobi wakijaribu kukusanya mali zao kufuatia mafuriko nchini Kenya.
Wakaazi wa Nairobi wakijaribu kukusanya mali zao kufuatia mafuriko nchini Kenya. © Monicah Mwangi / REUTERS
Vipindi vingine
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
  • 10:00
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.