Pata taarifa kuu

Watu 20 wafariki baada ya basi kudondoka kutoka darajani Venice

Basi limeanguka jioni ya Jumanne, Oktoba 3 kutoka darajani huko Venice, na kusababisha "wahanga wengi," ametangaza meya wa jiji hili la kaskazini mwa Italia Luigi Brugnaro.

Ikitishiwa hasa na utalii mkubwa na mabadiliko ya hali ya hewa, Venice hatimaye haitaorodheshwa kama eneo la urithi wa dunia iliyo hatarini.
Ikitishiwa hasa na utalii mkubwa na mabadiliko ya hali ya hewa, Venice hatimaye haitaorodheshwa kama eneo la urithi wa dunia iliyo hatarini. AP - Luca Bruno
Matangazo ya kibiashara

"Janga kubwa lilmeikumba jamii yetu jioni ya leo", na kusababisha "wahanga wengi kati ya wale waliokuwepo kwenye basi lililoanguka" kutoka kwa daraja karibu na Mestre, bara, meya amesema kwenye Facebook, akielezea "tukio la ajabu.

Habari zaidi zinakujia...

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.