USALAMA-JAMII
Ufaransa: watu wawili wauawa na mmoja kujeruhiwa katika shambulio la risasi Marseille
Watu wawili wameuawa kwa kupigwa risasi na wa tatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi jioni, Septemba 28, baada ya kufyatuliwa risasi katika vitongoji vyenye wakaazi kaskazini mwa mji wa Marseille, kulingana na shirika la habari la AFP likinukuu maafisa wa Zima moto na vyanzo vya polisi.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Tukio hili litokea karibu saa moja na dakika arobaini (saa za Ufaransa) huko Chutes-Lavie, katika eneo la 4 la Marseille, kulingana na vyanzo hivi. "Mhalifu, aliyejihami kwa silaha ndefu, alikimbia" kwa gari, chanzo cha polisi kimeliambia shirika la habari la AFP.
Taarifa zaidi zinakujia...