Rais wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol, amezuru Ukraine
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol amefanya ziara ya kushtukiza nchini Ukraine, hatua ambayo imeeleza kuwa inaonyesha wazi kwamba nchi yake inaunga mkono nchi hiyo katika vita vyake dhidi ya Urusi.
Imechapishwa: Imehaririwa: