Changu Chako, Chako Changu
Wahamiaji haram wanaokwama katika safari yao kuelekea Ulaya
Imechapishwa:
Cheza - 20:34
Juma hili Ali Bilali anazungumza na Mali Ali mtaalamu wa maswala mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ambapo leo anazungumzia kuhusu mzozo wa wahamiaji haramu ambao wamekuwa wakiweka maisha yao hatarini katika safari yao kuelekea barani Ulaya.