Pata taarifa kuu
Changu Chako, Chako Changu

Wahamiaji haram wanaokwama katika safari yao kuelekea Ulaya

Imechapishwa:

Juma hili Ali Bilali anazungumza na Mali Ali mtaalamu wa maswala mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ambapo leo anazungumzia kuhusu mzozo wa wahamiaji haramu ambao wamekuwa wakiweka maisha yao hatarini katika safari yao kuelekea barani Ulaya.

Moja miongoni mwa boti lililokuwa nawahamiaji kutoka nchini Libya kuelekea Ulaya
Moja miongoni mwa boti lililokuwa nawahamiaji kutoka nchini Libya kuelekea Ulaya AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.