Kocha wa Tanzania anaamini timu yake itafanya vyema katika mechi zijazo
Nairobi – Kocha wa timu wa Taifa Stars Amrouche baada ya kipigo cha magoli matatu bila ya jibu dhidi ya Morocco, amesema vijana wake wamejifunza na hawatarudia makosa waliofanya katika siku zijazo. Jason Sagini yuko Ivory Coast na ametuma ripoti hii.
Imechapishwa:
Cheza - 01:30