Pata taarifa kuu

Cameroon yamuita Onana katika mapambano ya Kombe la Mataifa ya Afrika

NAIROBI – Timu ya Cameroon imemuita kipa wa Manchester United Andre Onana, ili kuokoa jahazi wakati timu hiyo itakapokuwa inacheza dhidi ya Burundi, katika mechi ya mchujo hapo kesho kushiriki katika Kombe la Mataifa ya Afrika.

Kipa wa Cameroon Andre Onana wakati wa mechi ya kandanda ya Kundi A ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2022 kati ya Cameroon na Ethiopia kwenye uwanja wa Ahmadou Ahidjo mjini Yaounde, Cameroon, Alhamisi, Januari 13, 2022.
Kipa wa Cameroon Andre Onana wakati wa mechi ya kandanda ya Kundi A ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2022 kati ya Cameroon na Ethiopia kwenye uwanja wa Ahmadou Ahidjo mjini Yaounde, Cameroon, Alhamisi, Januari 13, 2022. AP - Themba Hadebe
Matangazo ya kibiashara

Mwaka uliopita Onana alichujwa na kutumwa nyumbanoi baada yaΒ kuichezea Indomitable Lions katika mechi yao ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2022 dhidi ya Uswizi kufuatia kutofautiana na kocha Rigobert Song.

Kipa wa Cameroon AndrΓ© Onana dhidi ya Korea Kusini, katika mechi ya maandalizi ya Kombe la Dunia la 2022, Septemba 27 huko Seoul.
Kipa wa Cameroon AndrΓ© Onana dhidi ya Korea Kusini, katika mechi ya maandalizi ya Kombe la Dunia la 2022, Septemba 27 huko Seoul. REUTERS - KIM HONG-JI

Lakini kutokana na Cameroon kuhitaji ushindi ili kuwa na uhakika wa kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya 2023 nchini Ivory Coast, Song amemshawishi Onana kutojiondoa katika ulingo wa kimataifa.

Mabingwa wa taji hilo Senegal, ni miongoni mwa nchi 15 ambazo zimefuzu kwa michuano hiyo inayofanyika kila baada ya miaka miwili, na nafasi tisa zaidi zitanyakuliwaΒ wakati wa duru ya mwisho ya siku saba.

Mechi kuanzia hapo kesho, Jumatano

Septemba 6, Jumatano

Kundi J

Libya v Equatorial Guinea (Benghazi, Libya)

Β 

Septemba 7, Alhamisi

Kundi E

Angola v MadagascarΒ (Lubango, Angola)

Ghana v Central African Republic (Kumasi, Ghana)

Group F

Niger v Uganda (Marrakech, Morocco)

Algeria v Tanzania(Annaba, Algeria)

Group J

Tunisia v Botswana (Rades, Tunisia)

Β 

Septemba 8, Ijumaa

Group D

Egypt v Ethiopia (Cairo, Misri)

Group B

Burkina Faso v Eswatini (Marrakech)

Group G

Mali v South Sudan (Bamako, Mali)

Septemba 9, Jumamosi

Group L

Mozambique v Benin (Maputo, Msumbiji)

Rwanda v Senegal (Huye, Rwanda)

Group D

Malawi v Guinea (Lilongwe, Malawi)

Group I

Mauritania v Gabon (Nouakchott)

Democratic Republic of Congo v Sudan (Kinshasa, DRC)

Group H

Ivory Coast v Lesotho (San Pedro, Ivory Coast)

Comoros v Zambia (Moroni)

Group K

Morocco v Liberia (Agadir, Morocco)

Β 

Septemba 10, Jumapili

Group A

Nigeria v Sao Tome e Principe (Uyo, Nigeria)

Group B

Togo v Cape Verde(Lome)

Group G

Gambia v Congo Brazzaville (Marrakech, Morocco)

Β 

Septemba 11, Jumatatu

Β Group A

Guinea-Bissau v Sierra Leone (Bissau)

Β 

Septemba 12, Jumanne

Group C

Cameroon v Burundi (Garoua, Cameroon)

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.