Rwanda - Michezo
Mashindano ya ligi ya mpira wa kikapu vilabu bingwa barani Afrika, yaanza Kigali
Imechapishwa:
Cheza - 02:57
Matangazo ya kibiashara
Mashindano ya ligi ya mpira wa kikapu vilabu bingwa barani Afrika (BAL), yanaanza kutifua vumbi jijini Kigali kuanza leo jumamosi tarehe 21-28 Mei 2022.
Mashindano haya yanafanyika katika Kigali Arena yenye uwezo wa kupokea watazamaji elfu 10 wakiwa wamekaa. Timu zitakazoshiriki ni 8 bora zilizofuzu hatua ya 1/4 fainali ya kombe la Afrika.
Mwanamichezo wetu Christopher Karenzi akiwa Kigali Rwanda na maelezo zaidi