Jukwaa la Michezo
TP Mazembe yapata ushindi mwembamba dhidi ya FUS Rabat
Imechapishwa:
Cheza - 24:47
Michuano ya kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika, imeingia katika hatua muhimu wiki hii, hatua ya nusu fainali. Michuano hii inachezwa nyumbani na ugenini. Tunachambua kwa kina mchuano kati ya TP Mazembe na FUS Rabat kuwania taji la Shirikisho.