Jukwaa la Michezo
Vlabu vya soka barani Afrika vyaendelea kupambana kufuzu robo fainali
Imechapishwa:
Cheza - 23:12
Michuano ya soka hatua ya makundi kuwania taji la klabu Bingwa na Shirikisho barani Afrika inafikia mwisho mwishoni mwa juma hili. Je, nani atafuzu katika hatua ya robo fainali ?Tunachambua hili kwa kina.