Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Soka la vijana barani Afrika: Tanzania kusaka ushindi muhimu dhidi ya Niger

Imechapishwa:

Tanzania inachuana na Niger katika mchuano wake wa mwisho kufuzu katika hatua ya nusu fainali kuwania ubingwa wa Afrika kwa vijana wasiozidi miaka 17 nchini Gabon. Ligi ya Tanzania bara imemalizika, kwa Yanga kuibuka mabingwa, huku Chelsea ikishinda ligi kuu nchini Uingereza.

Mchuano kati ya Tanzania na Niger katika mchuano wa mwisho wa kundi B
Mchuano kati ya Tanzania na Niger katika mchuano wa mwisho wa kundi B www.cafonline.com
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.