Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Michuano ya CECAFA yakosa kufanyika mwaka 2016

Imechapishwa:

Michuano ya soka ya klabu bingwa na ile ya Mataifa ya Afrika Mashariki CECAFA, haikufanyika mwaka huu wa 2016 baada ya kukosa mwenyeji wa michuano hii mikubwa. Je, nini chanzo cha haya yote ? Tunachambua kwa kina.

Nembo ya CECAFA
Nembo ya CECAFA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.