Jukwaa la Michezo
Afrika Mashariki yakosa kutoa mwamuzi atakayechezesha fainali za AFCON 2017
Imechapishwa:
Cheza - 25:11
Shirikisho la soka barani Afrika CAF, limetangaza majina ya waamuzi au marefarii wa kati 17 ,watakaochezesha michuano ya bara Afrika yatakayofanyika mwezi Januari mwaka 2017 nchini Gabon. Hata hivyo, Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kama Rwanda, DRC, Burundi, Uganda, Kenya na Sudan hazijatoa mwamuzi mmoja. Je, ni kwanini?Tunachambua hili.