Jukwaa la Michezo
Changamoto ya kutowalipa makocha wa timu za taifa za soka
Imechapishwa:
Cheza - 22:57
Makala ya Jukwaa la Michezo tunajadili ni kwanini imekuwa ni vigumu kwa vyama vya soka barani Afrika kuwalipa au kuwacheleweshea mshahara Makocha wa timu za taifa. Mfano ni Kocha wa Uganda Milutin Micho ambaye hajalipwa kwa muda wa miezi mitano licha ya kuiongoza Uganda kufuzu katika fainali ya mataifa bingwa barani Afrika kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 38.