Jukwaa la Michezo
Mfahamu mwanamasumbwi kutoka nchini Tanzania Francis Cheka
Imechapishwa:
Cheza - 20:40
Mwanamasumbwi kutoka nchini Tanzania Francis Cheka ni mgeni wetu hivi leo katika Makala ya Jukwaa la Michezo. Anazungumzia hisia zake kuhusu Tanzania kutoshiriki katika mchezo huu katika Michezo iliyomalizika ya Olimpiki nchini Brazil mwezi Agosti mwaka 2016 lakini pia maisha yake katika mchezo huu.