Jukwaa la Michezo
Upagaji wa Matokeo katika mchezo wa soka kati ya Kenya na Nigeria
Imechapishwa:
Cheza - 22:07
Juma hili katika Jukwaa la Michezo, tunaangazia ripoti ya uchunguzi iliyotolewa na kituo cha Al -jazeera kuwepo kwa upangaji wa matokeo wakati timu ya taifa ya soka ya Kenya Harambee Stars ilipomenyana na Super Eagles ya Nigeria wakati wa mchuano wa kufuzu kwa kombe la dunia mwaka 2009 jijini Nairobi.