Jukwaa la Michezo
AS Vita club ya DRC, kupambana na Es Setif ya Algeria fainali ya CAF
Imechapishwa:
Cheza - 20:55
Jumapili hii katika Jukwaa la Michezo tunachambua fainali ya mzunguko wa kwanza kuwania taji la soka klabu bingwa barani Afrika kati ya AS Vita Club ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Es Setif ya Algeria.