Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Juma la mwisho la maandalizi ya kombe la dunia

Imechapishwa:

Hili ni Juma la mwisho la maandalizi ya michuano ya soka ya  kombe la dunia  nchini Brazil.Jumapili hii utasikia uchambuzi wa kundi la F- Argetina, Bosnia and Herzegovina ,Iran na Nigeria.Kundi  G- Ujerumani, Ureno, Ghana na Marekani  na mwisho kundi  H lina Ubelgiji, Algeria, Urusi na Korea Kusini.Mchuano wa ufunguzi ni kati ya wenyeji Brazil na Croatia tarehe 12 mwezi huu.Soma ratiba hapa. 

Mipira ya kombe la dunia nchini Brazil
Mipira ya kombe la dunia nchini Brazil Reuters
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.