Jukwaa la Michezo
Maandalizi ya Kombe la dunia na Mataifa bingwa barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 21:02
Juma hili katika Jukwaa la Michezo, tunaendelea kuchambua maandalizi ya michuano ya soka ya kombe la dunia nchini Brazil mwezi huu, na pia michuano ya soka kufuzu kucheza katika michuano ya Mataifa bingwa barani Afrika nchini Morroco mwaka ujao.