Jukwaa la Michezo
Taji la soka kuwania ubingwa wa klabu bora barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 20:46
Vlabu mbalimbali vya soka barani Afrika vinashuka dimbani mwishoni mwa juma hili, kumenyana katika michuano ya kufuzu katika hatua ya robo fainali kuwania taji la klabu bora barani Afrika na hatua ya mwondoano katika michuano ya Shirikisho.Pata uchambuzi wa kina
Matangazo ya kibiashara