Jukwaa la Michezo
Fainali za kombe la mataifa ya Afrika zawakutanisha Zambia dhidi ya Cote d'Ivoire
Imechapishwa:
Cheza - 20:01
Jukwaa linaiangazia michuano mikali ya kuwania kombe la mataifa ya Afrika,na leo ni Zambia uso kwa uso na Cote d'Ivoire....pamoja na mengine mengi...karibu