Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Makocha wa timu mbalimbali zinazoshiriki AFCON watangaza vikosi vyao

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala hii, juma hili ameendelea kuangazia maandalizi ya timu mbalimbali zitakazoshiriki michuano ya kombe la mataifa ya Afrika ambapo makocha wa timu mbalimbali wameendelea kutangaza vikosi vyao.

Mohamed Ahmed Bashir mchezaji wa timu ya taifa ya Sudan inayoshiriki michuano ya mwaka huu
Mohamed Ahmed Bashir mchezaji wa timu ya taifa ya Sudan inayoshiriki michuano ya mwaka huu Reuters
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.