Jukwaa la Michezo
Makocha wa timu mbalimbali zinazoshiriki AFCON watangaza vikosi vyao
Imechapishwa:
Cheza - 20:04
Mtangazaji wa makala hii, juma hili ameendelea kuangazia maandalizi ya timu mbalimbali zitakazoshiriki michuano ya kombe la mataifa ya Afrika ambapo makocha wa timu mbalimbali wameendelea kutangaza vikosi vyao.