Jukwaa la Michezo
Uchambuzi wa kundi A kwenye michuano ya AFCON na kurejea Arsenal kwa Thiery Henry
Imechapishwa:
Cheza - 19:29
Mtangazaji wa makala hii, juma hili ameangazia kundi A kwenye michuano ya kombe la mataifa Afrika pamoja na kurejea uwanjani kwa mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thiery Henry.