Jukwaa la Michezo
Maandalizi ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika AFCON 2012
Imechapishwa:
Cheza - 19:58
Mtangazaji wa makala hii, Victor Abuso amejumuika na Emmanuel makundi na kuangazia maandalizi ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inayotarajiwa kuanza tarehe 21 ya mwezi huu.