-
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban ataka Mohamed Morsi aachiwe huku maandamano yakitaifa yakitarajiwa kufanyika nchini Misri
-
Takwimu za Umoja wa Mataifa UN zaonesha watu zaidi ya 100,000 wamepoteza maisha nchini Syria katika miezi 28 ya machafuko
-
Mataifa jirani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC yatakiwa kusitisha ufadhili wake kwa Kundi la Waasi la M23