-
Marekani imetoa ombi jingine kwa Urusi iwakabidhi Mfanyakazi wa zamani wa Shirika la Kijasusi la CIA Edward Snowden
-
Serikali ya Marekani yatangaza mpango wa kuchelewesha msaada wake wa Ndege za Kijeshi wa Misri kutokana na uwepo wa machafuko
-
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis atoa onyo kwa mataifa yanayohalalisha matumizi ya mihadarati