Pata taarifa kuu
UKWELI AU UONGO

Labenevolencija na RFI Kiswahili watoa mafunzo ya habari za kupotosha mitandaoni

Imechapishwa:

Picha inayosambaa mtandaoni ya Moïse Katumbi na rais wa Kenya, William Ruto ikidai kuwa ina uhusiano na kuundwa kwa vuguvugu la Corneille Nangaa wa AFC inapotosha umma.

Katuni inayoonesha picha ya mwaka 2022 kati ya Moise Katumbi (DRC) na rais wa Kenya William Ruto ikifutilia mbali ile inayosambaa mitandaoni ikidaiwa ni ya sasa hivi
Katuni inayoonesha picha ya mwaka 2022 kati ya Moise Katumbi (DRC) na rais wa Kenya William Ruto ikifutilia mbali ile inayosambaa mitandaoni ikidaiwa ni ya sasa hivi © RFI Kiswahili
Matangazo ya kibiashara

Picha hii ni ya Disemba 18, 2022 na kipindi ambacho Katumbi anadaiwa kuwa nchini Kenya mwaka huu, alikuwa kwenye kampeni za uchaguzi huko Lualaba nchini DRC.

Utasikiliza pia baadhi ya maoni ya waliohudhuria mafunzo kuhusu habari za ukweli au uongo kutoka kule Bukavu nchini DRC na pia kule Kigali nchini Rwanda mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu.

Vipindi vingine
  • 10:18
  • 10:00
  • 10:00
  • 10:58
  • 10:01
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.