Makala ya wiki hii kuhusu habari za kupotosha kwenye mitandao ya kijamii tunafanya muendelezo wa habari nchini DRC.
Vipindi vingine
-
Video za kupotosha kwamba ni athari za kimbunga Hidaya nchini Tanzania
Kimbunga Hidaya kilikumba nchi ya Tanzania mapema mwezi huu, baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa kushuhudiwa katika mataifa ya Afrika Mashariki na kusababisha mafuriko. Basi siku hiyo hiyo, video ilichapishwa mtandaoni ikidai ni athari za kimbunga hicho.17/05/202410:18 -
Madai ya kupotosha kwamba kiarabu kimefanywa kuwa lugha rasmi Senegal
Moja ya habari tunayoangazia ni dai kuwa lugha ya kiarabu imefanywa kuwa lugha rasmi nchini Senegal badala ya Kifaransa.10/05/202410:00 -
Picha zinazodai kuwa wakaazi wanatumia boti jijini Nairobi kutokana na mafuriko
Moja ya habari tunayoangazia ni picha kutoka Kenya kuwa wakaazi wa jiji kuu wanatumia boti kutokana na mafuriko lakini huu ni uongo.04/05/202410:00 -
Video za kupotosha kuwa mtali alishambuliwa vibaya nchini Sudan Kusini
Wiki hii tunaangazia Machapisho ya kupotosha ambayo yanasambaza picha zinazodai kuwa mtalii alipigwa vibaya sana nchini Sudan Kusini.27/04/202410:58 -
Madai ya kupotosha ya Urusi kuwa mamluki wa kigeni wanaisaidia Ukraine
Ripoti ya kutilia shaka kutoka ubalozi wa Urusi kuwa kuna mamluki wa kigeni wanaopigana kwa ajili ya Kyiv.19/04/202410:01