UKWELI AU UONGO
DRC: Ripoti za kutekwa kwa mbunge wa Masisi Ayobangira ni uongo
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo itafanya uchaguzi tarehe 20 mwezi Disemba, na habari za kupotosha zimegubika kipindi cha kampeni za uchaguzi huo.
Matangazo ya kibiashara
Kwenye kipindi hiki mwandishi Hillary Ingati alikuwa Goma, Mashariki mwa DRC kuchunguza athari za habari za kupotosha kwenye mitandao ya kijamii. Pia habari kuwa Mbunge wa Masisi Safari N,shutu Ayobangira kutekwa ni uongo.