Kenya :Video iliyohaririwa ilikupotosha raia kuhusu hotuba ya rais Ruto
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Tuangazia video iliyohaririwa na inapotosha kuwa rais wa Kenya alipuuza wazi wasiwasi wa umma kuhusu bei ghali ya vyakula.
Ni wazi kuwa video hii fupi inayosambazwa iliundwa kwa kuhariri sehemu tofauti za hotuba ya Ruto kutoka kwa tukio hili, na kupotosha muktadha asilia.
Video hii ina sehemu tatu. Katika sehemu ambayo anaonekana kusema kuwa bei ya vyakula haitapungua, alikuwa akirejelea mbinu ya upinzani ya kuweka sufuria kichwani wakati wa maandamano, akisema hilo halitafanya bei ya vyakula kushuka.
Kwa kweli msikilizaji video hii imehaririwa ilikupotosha raia wa Kenya dhidi ya uongozi wa rais Ruto.