Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Miaka 30 ya mauaji ya kimbari Rwanda, UN yaondoa jeshi lake DRC na mengineyo duniani

Imechapishwa:

Makala yameangazia mambo mengi ikiwemo maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi yanaendelea wiki hii, MONUSCO kuanza kuwaondoa wanajeshi wake eneo la mashariki mwa DRC, mgomo wa madaktari nchini Kenya, mwaka mmoja wa mzozo wa Sudani kutimia jumatatu ya aprili 15 na mengineyo duniani. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi

Rais wa Rwanda Paul Kagame wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika ukumbi wa Palais des Congrès de Kigali, jijini Kigali, Jumatatu, Aprili 8, 2024.
Rais wa Rwanda Paul Kagame wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika ukumbi wa Palais des Congrès de Kigali, jijini Kigali, Jumatatu, Aprili 8, 2024. © Brian Inganga / AP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.