Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Maadhimisho ya miaka 30 mauaji ya kimbari nchini Rwanda, uteuzi wa waziri mkuu mpya DRC

Imechapishwa:

Ni makala maalum, kuhusu kumbukumbu ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, tunahoji mchakato wa maridhiano umefikia wapi miaka 30 baadaye..... hali iko vipi kwa sasa. na dunia imepata  somo gani? Pia kuhusu mauaji hayo, tutarejelea kauli ya Rais Emanuel Macron iliyoonekana kuwa inalenga kutuliza hisia za waathiriwa.Huko DRC uteuzi wa Judith Tuluka Suminwa, mwanamke wa kwanza kuwa waziri mkuu. Mahakama nchini Uganda ilitoa uamuzi wake kuhusu sheria dhidi ya ushoga. Kabla ya kwenda Kenya, Sudani..pamoja na Senegal ambako Bassirou DF aliapishwa kuwa rais mpya, tutakwenda Israeli na maeneo mengine duniani.

Picha iliyopigwa Aprili 29, 2018 inaonyesha mgeni akiangalia picha za wahasiriwa kwenye Makumbusho ya Mauaji ya Kimbari ya Kigali nchini Rwanda.
Picha iliyopigwa Aprili 29, 2018 inaonyesha mgeni akiangalia picha za wahasiriwa kwenye Makumbusho ya Mauaji ya Kimbari ya Kigali nchini Rwanda. © AFP / YASUYOSHI CHIBA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.