Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Zaidi ya watu 600 wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Morocco
Imechapishwa:
Cheza - 20:01
Tetemeko kubwa la ardhi siku ya Ijumaa usiku limeitikisa nchi ya Morocco wakati huu zaidi ya watu 600 wakiafriki, kwa mujibu wa takwimu za wizara ya mambo ya ndani, idadi hii ikihofiwa kuendelea kuongezeka.
Matangazo ya kibiashara
Tetemeko hilo la ukubwa wa 6.8 lilipiga kilomita 72 kusini magharibi mwa eneo la watalii la Marrakesh, Utafiti wa Jiolojia wa Marekani umeripoti.
Tetemeko pia ilisikika katika miji ya pwani ya Rabat, Casablanca na Essaouira.