Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Wapinzani nchini DRC watoa tamko kuhusu kifo cha Okende, maandamano nchini Kenya

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia ripoti mbali mbali za waandishi wetu lakini kubwa ni kuhusu mauaji ya kuvizia dhidi ya mwanasiasa wa upinzani na mshirika wa karibu wake Moise Katumbi kule DRC pamoja na kauli ya Upinzani nchini Kenya kuhusu maandamano kuendelea juma lijalo, kule Sudan mapigano bado yaendelea, ICC yasema inafuatilia visa vya uhalifu dhidi ya binadamu, nchini Senegeal, mpinzani Ousmane Sonko ateuliwa na chame chake kuwa mgombea wa urais, na mambo mengine mbali mbali

Mbunge na waziri wa zamani wa serikali Chérubin Okende, mnamo Februari 2023, katika mkutano na waandishi wa habari huko Kinshasa, DRC.
Mbunge na waziri wa zamani wa serikali Chérubin Okende, mnamo Februari 2023, katika mkutano na waandishi wa habari huko Kinshasa, DRC. © Pascal Mulegwa / RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.