Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Hali ya usalama yazidi kuzorota Sudan, sheria dhidi ya ushoga bungeni Uganda
Imechapishwa:
Cheza - 20:13
Makala hii imeangazia mapigano na hali inavyoendelea nchini Sudan, na miito ya kusitishwa mapigano, muswada wa sheria unaopinga ushoga ulirejeshwa bungeni wiki hii, na kuanza kwa mazungumzo kati ya wajumbe wa muungano wa Upinzani wa Azimio nchini Kenya na wajumbe wa rais wa Kenya William Ruto nchini, tumeangazia yaliyojiri katika eneo la Afrika magharibi na kwengineko duniani