Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Tume ya umoja wa mataifa DRC Monusco yashambuliwa, Kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 20:09
Katika makala hii utasikia kuhusu maandamano makubwa yaliyofanyika nchini DRC kutaka tume ya umoja wa mataifa Monusco iondoke nchini, mijadala kuhusu mdahalo wa kisiasa kwa wagombea wa kiti cha urais nchini Kenya, kuelekea uchaguzi wa agosti 09, ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron nchini Cameroon, Guinea Bissau, na Benin, lakini pia mahusiano kati ya China na Marekani.Kwa hayo na mengine mengi ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka