Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mazishi ya M. Kibaki rais wa tatu wa Kenya jumamosi 30 aprili, waasi DRC watoa maoni
Imechapishwa:
Cheza - 20:14
Tumekukusanyia mengi, utasikia Kutamatishwa jijini Nairobi nchini Kenya, kwa mazungumzo kati ya serikali ya DRC na wawakilishi wa makundi yenye silaha katika nchi hiyo, wiki hii wakenya waendelea kumwomboleza aliyekuwa rais wao wa tatu Emilio Mwai Kibaki ambaye mazishi yake yanafanyika jumamosi ya tarehe 30 aprili 2022, siasa za ukanda lakini pia ziara yake katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres huko Kiev Ukraine