Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Watu10 wahukumia miaka 15 jela kwa kuwabaka wafungwa wa kike DRC, watu29 wauawa Liberia
Imechapishwa:
Cheza - 20:15
Makala ya juma hili imeangazia hatua ya mahakama moja kule DRC iliwahukumu kifungo cha miaka 15 jela kwa makosa ya kuwabaka wanawake wafungwa katika jela kuu la Kasapa kwenye mji wa Lubumbashi jimboni Katanga mashariki ya nchi hiyo. Uhaba wa mafuta nchini Uganda waisababishia serikali kuondoa marufuku upimaji na malipo ya lazima ya Covid-19 kwa madereva lakini pia mambo mengine mengi katika baadhi ya maeneo ya duniani..