Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
DRC na Kenya kusaini mikataba ya kidiplomasia, mazishi ya rais Idris Debi huko Ndjamena
Imechapishwa:
Cheza - 19:59
Kenya na DRC zilitiliana sahini makubaliano ya kidiplomasia, kiusalama na kibiashara, Uganda yajibu madai ya DRC mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki ya ICJ huko Hague, Rais Samia amehutubia bunge na kutoa dira ya serikali yake, Mazishi ya rais wa Chad Idriss Déby Itno mbele ya viongozi kadhaa wa dunia, Urusi yaanza kuondoa vikosi vyake kutoka mipaka ya Ukraine, lakini pia siasa za MarekaniUngana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi