Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Kenya kujenga uwanja mpya kwa ajili ya michuano ya Afcon mwaka 2027

Imechapishwa:

Karibu katika makala ya jukwaa la michezo leo tunaangazia kujengwa kwa uwanja mpya wa michezo nchini kenya, michuano ya klabu bingwa barani afrika pamoja na taifa la ufaransa kukamilisha ujenzi wa kijiji kitakachotumiwa na wanariadha katika michezo ya olimpiki.

Umbo la uwanja mpya wa Talanta unaotarajiwa kujenga jijini Nairobi, Kenya
Umbo la uwanja mpya wa Talanta unaotarajiwa kujenga jijini Nairobi, Kenya © Wizara ya Michezo nchini Kenya
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.