Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Matukio makubwa yaliyotokea duniani wiki hii

Imechapishwa:

Tuliyokuandalia ni pamoja kifo cha mshindi wa kwanza tuzo la Ballon D'Or  la Afrika Selif Keita, ushirikiano wa Azam  na FKF kupeperusha ligi kuu ya Kenya, rais wa FERWAFA kujiuzulu, Uganda yashinda medali yao ya kwanza kwenye mashindano ya Pentathlon, mlinda lango Andre Onana arejea kwenye kikosi cha Cameroon na uchambuzi wa Droo ya michuano ya klabu bingwa Ulaya na siku ya mwisho ya uhamisho wa wachezaji ulaya.

Kipa André Onana
Kipa André Onana REUTERS - ALBERTO LINGRIA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.