Jukwaa la Michezo
Mashindano ya Safari Rally yaendelea kutifua vumbi nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 24:40
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na mashindano ya Kimataifa ya kukimbiza magari nchini Kenya, Safari Rally, klabu ya soka ya Yanga nchini Tanzania, yampata kocha mpya na matukio yanayojiri viwanjani kote duniani.