Jukwaa la Michezo
Droo ya robo fainali kuwania taji la klabu bingwa Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 23:56
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa hatua ya droo ya robo fainali ya mashindano ya klabu bingwa Afrika. Shirikisho la mchezo wa Raga nchini Kenya limepata viongozi wapya na Mo Farah ashindwa kwenye mbio fupi nchini Gabon.