Jukwaa la Michezo
Tanzania yamteua Adel Amrouche kuwa kocha mpya wa Taifa Stars
Imechapishwa:
Cheza - 24:00
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) kumteua Adel Amrouche raia wa Ubelgiji, kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya mchezo wa soka, michuano ya soka kuwania taji la Afrika kwa wachezaji wasiozidi miaka 20 na madai ya ubakaji dhidi ya Achraf Hakimi beki wa Morocco na PSG.