Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

CHAN 2023: Nani atakuwa mbabe kati ya Algeria na Senegal ?

Imechapishwa:

Fainali ya CHAN, kuwania ubingwa wa mchezo wa soka kwa wachezaji wanaocheza katika ligi za nyumbani barani Afrika, inachezwa baadaye siku ya Jumamosi kati ya wenyeji  Algeria na Senegal, tunachambua hili na mengine mengi.

Uwanja wa  Nelson Mandela nchini Algeria
Uwanja wa Nelson Mandela nchini Algeria AFP - -
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.