Jukwaa la Michezo
CHAN 2023: Nani atakuwa mbabe kati ya Algeria na Senegal ?
Imechapishwa:
Cheza - 24:00
Fainali ya CHAN, kuwania ubingwa wa mchezo wa soka kwa wachezaji wanaocheza katika ligi za nyumbani barani Afrika, inachezwa baadaye siku ya Jumamosi kati ya wenyeji Algeria na Senegal, tunachambua hili na mengine mengi.