Jukwaa la Michezo
Michuano ya CHAN yaendelea kushika kasi nchini Algeria
Imechapishwa:
Cheza - 23:43
Miongoni mwa yale tunayojadili ni pamoja na kuendelea kwa michuano ya soka kutafuta ubingwa wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka katika ligi za nyumbani CHAN, tuzo ya mwanamichezo bora nchini Kenya, SOYA na maandalizi ya mechi kati ya Arsenal na Manchester United nchini Uingereza.