Jukwaa la Michezo
Michuano ya CHAN yaanza nchini Algeria, Morocco yapata changamoto
Imechapishwa:
Cheza - 23:52
Miongoni mwa yale tunayoangazia ni pamoja na michuano ya soka CHAN, kuwania taji la Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka nyumbani iliyoanza nchini Algeria. Pambano la masumbwi kati ya wanabondia kutoka Kenya na Tanzania, inayofanyika jijini Nairobi.