Jukwaa la Michezo
Didier Deschamps kuendelea kuwa kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa
Imechapishwa:
Cheza - 23:51
Didier Deschamps ametangaza kuwa ataendelea kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Ufaransa hadi michuano ijayo ya kombe la dunia mwaka 2026. Tunajadili hili na mengine mengi katika Makala ya leo ya Jukwaa la Michezo.