Jukwaa la Michezo
André Onana atangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Cameroon
Imechapishwa:
Cheza - 23:52
Miongoni mwa yale tunayoangazia ni pamoja na tangazo la kipa wa timu ya taifa ya Cameroon, André Onana, kutangaza kustaafu kuichezea timu yake ya taifa.