Jukwaa la Michezo
Mataifa mbalimbali yaendelea kupambana kushinda kombe la dunia
Imechapishwa:
Cheza - 23:55
Michuano ya soka, kuwania taji la dunia inaendelea kushika kasi nchini Qatar, huku mataifa ya Afrika yakianza vibaya. Hata hivyo, Senegal ilishinda mechi yake ya pili dhidi ya wenyeji Qatar.